Advertising

  • Matunda

    faida ya tunda la KITZ
  • Matunda

    kula matunda kwa wingi
  • GYm

    Mazoezi muhimu kwa afya
  • Mazoezi

    dada anaimarisha misuli
  • Jovago

    Promoo siku ya watendao

February 6, 2016

Mr Mtinangi

Kun Sergio Aguero Kutoa tuzo ya mchezaji bora January 2016

Mr Mtinangi | 12:17 AM |





Mkali wa kucheka na nyavu wa the blues wa jijini Manchester ameisaidia timu yake kubeba point 8 katika mechi nne na kuifanya manchester city unbeaten.
 Katika mechi hizo nne Sergio Aguero amefunga magoli matano na kutoa asist moja,December tuzo hiyo ilichukuliwa na mkali wa Nigeria na club ya watford Odion Ighalo ambaye pia alifunga magoli 5 december
               

Mr Mtinangi

About Mr Mtinangi -

Hajasomea uandishi wa habari yeye anapenda kuisaidia jamii kufahamu yale yanayotokea duniani japo kwa kiasi kidogo na nifuraha kwako hata kama mtu mmoja akipata taarifa mpya kupitia moojuhudi,namini katika haba ile na ile hujaza kibaba

Subscribe to this Blog via Email :