
Leicester City Baada ya Kuilaza City Yatuma Salamu Kwa Arsenal
Leicester City wanazidi kujikita kileleni mwa ligi kuu England baada ya leo kuwatungua vigogo wa EPL Man City kwa mabao 3-1. Licha ya kuwa hawapewi nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa, vijana hao wa Ranieri...