Advertising

  • Matunda

    faida ya tunda la KITZ
  • Matunda

    kula matunda kwa wingi
  • GYm

    Mazoezi muhimu kwa afya
  • Mazoezi

    dada anaimarisha misuli
  • Jovago

    Promoo siku ya watendao

MPYA

FAHAMU

February 7, 2016

Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 4:06 AM | Be the first to comment!

Leicester City Baada ya Kuilaza City Yatuma Salamu Kwa Arsenal

Leicester City wanazidi kujikita kileleni mwa ligi kuu England baada ya leo kuwatungua vigogo wa EPL Man City kwa mabao 3-1. Licha ya kuwa hawapewi nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa, vijana hao wa Ranieri...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 3:47 AM | Be the first to comment!

Samatta Aanza Kwa Kishindo, Timu yake Yashinda 1 – 0

Baada ya nyota wa Tanzania Mbwana Samatta kufanikiwa kukipiga kwa mara ya kwanza kwenye klabu yake ya KCR Genk, mkali huyo ameandika ujumbe kwenye account yake ya instagram kuwashukuru wale wote wanaom-support na kumtakia...

Read More

February 6, 2016

Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:59 AM | Be the first to comment!

Serikali yatoa tamko kuhusu udhalilishwaji aliyofanyiwa Mtanzania, India

Serikali imetoa tamko la kulaani kitendo kilichotokea nchini India kwa mwanafunzi wa kike wa kitanzania kuvuliwa nguo na kutembezwa barabarani ambapo Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje,Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na kimataifa imetoa tamko...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:57 AM | Be the first to comment!

Twitter yazifunga akaunti za IS

Mtandao wa kijamii wa Twitter, umesema kuwa umesimamisha akaunti zaidi ya 120,000 kwa uchochezi tangu katikati mwa mwaka uliopita. Kampuni hiyo inasema akaunti nyingi zilikuwa na uhusiano mkubwa ma kundi la kigaidi la Islamic...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:55 AM | Be the first to comment!

AU yaitaka Burundi kukubali wanajeshi wake

                                                 Rais wa Chad Idris Deby ndio mwenyekiti wa AU Muungano...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:49 AM | Be the first to comment!

Wengine waliomvua nguo Mtanzania mbaroni

                                            Gari la wanafunzi hao liliteketezwa Washukiwa zaidi wamekamatwa na maafisa wa polisi nchini...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:44 AM | 1 Comment so far

Balozi wa Tanzania aridhishwa na hali Bangalore

Balozi Kijazi amesema wenyeji na Waafrika wanafaa kuwa wakikutana na kujadiliana Balozi wa Tanzania nchini India John Kijazi amesema ameridhika kwamba serikali ya nchi hiyo imeweka mikakati ya kutosha kuwalinda wanafunzi, kufuatia kisa ambapo...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:40 AM | Be the first to comment!

Tetemeko baya lakumba Taiwan

Tetemeko kubwa la ardhi limekumba Taiwan Kusini, na kuangusha jengo moja la ghorofa 17 ambapo hadi kufikia sasa watu watatu wamethibitishwa kufariki. Tetemeko hilo la kipimo cha Ritcher 6.4 lilitokea karibu na mji wa...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:36 AM | Be the first to comment!

Washauriwa kubeba Kondomu siku ya Valentine

Thailand imezindua kampeni kabla ya siku ya wapendanao ya Valentine ikiwataka vijana kutosikia aibu wanapobeba mipira ya kondumu. Mpango huo unaonekana kubadilika ikilinganishwa na kampeni zilizokuwa zikifanywa hapo awali,ambapo vijana walihamasishwa kuzuru maeneo ya kidini...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:25 AM | Be the first to comment!

Alikiba azindua video ya Lupela, mastaa wenzie wampa kampani

Alikiba amezindua video ya wimbo wake Lupela Alhamis hii kwenye hoteli ya Slipway jijini Dar es Salaam. Alikiba akiongea mbele ya wageni waalikwa Uzinduzi huo ulihudhuriwa na mastaa kibao walioenda kumpa kampani. Video hiyo...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 12:17 AM | Be the first to comment!

Kun Sergio Aguero Kutoa tuzo ya mchezaji bora January 2016

Mkali wa kucheka na nyavu wa the blues wa jijini Manchester ameisaidia timu yake kubeba point 8 katika mechi nne na kuifanya manchester city unbeaten.  Katika mechi hizo nne Sergio Aguero amefunga magoli matano...

Read More

February 5, 2016

Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 11:59 PM | Be the first to comment!

Kwanini kocha Mayanja wa Simba hampi nafasi kikosini Said Ndemla?

February 3 kocha wa Simba Jackson Mayanja amekutana na swali la waaandishi wa habari juu ya kiungo wa Simba anayeichezea timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Said Hamisi Ndemla kutopewa nafasi kwenye kikosi cha Simba toka kocha Masanja aanze kazi. Kama...

Read More

February 4, 2016

Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 7:52 AM | Be the first to comment!

Kinana aanza shughuli mbalimbali za maendeleo kuelekea siku ya maadhimisho ya miaka 39 ya Kuzaliwa kwa CCM

Wajumbe wa Kamati ya Siasa CCM mkoa wakisikiliza wakati Kaimu Katibu wa Mkoa Ndugu Mary Maziku akiwakilisha taarifa za maandalizi ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM kwa Katibu Mkuu wa CCM...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 7:49 AM | Be the first to comment!

Habari njema “Lady In Red” kufanyika nchini Uingereza 13 Februari

Lady In Red ni onesho la mitindo ambalo limekuwa likifanyika kwa muda mrefu hapa nchini Tanzania, Onesho hilo lilianzishwa na Mama mitindo maarufu nchini kama Asya Idarous, kwa lengo la kuendeleza na kuibua vipaji...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 7:46 AM | Be the first to comment!

Mama Janeth Magufuli atembelea kambi ya wazee wasiojiweza na walemavu ya Nunge

Mke wa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli, mama Janeth Magufuli ametembelea katika kituo cha Nunge kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam ambacho kinatumika kuhifadhi wazee wasiojiweza na walemavu. Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkabidhi...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 7:40 AM | Be the first to comment!

Kasi ya Rais Dkt. Magufuli yagonga mwamba kwa polisi Mlandizi

Askari wa Kikosi cha Polisi cha Usalama barabarani, Kituo cha Polisi Mlandizi wamewasotesha kwa takribani masaa mawili  na nusu wanahabari kupata risiti ya malipo ya faini aliyotozwa dereva wao baada ya kudaiwa kufanya kosa...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 7:37 AM | Be the first to comment!

ATE yalia na kukithiri kwa vitendo vya rushwa nchini

chama cha Waajiri nchini (ATE) kimelalamikia vitendo vya rushwa kuwa vikwazo katika biashara hivyo wameiomba serikali kukemea vitendo vya rushwa pamoja na urasimu ili kuboresha mazingira mazuri ya biashara za kitaifa na kimataifa. Hayo...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 4:44 AM | Be the first to comment!

Wabunifu chipukizi walivyolipamba jukwaa la Lady In Red Fashion show 2016

Wabunifu zaidi ya thelasini (30) wameweza kulipamba vilivyo jukwaa la mitindo hapa nchini la Lady In Red fashion show 2016 lililofanyika jijini Dar es Salaam huku likishuhudiwa na wadau mbalimbali wa mitindo hapa nchini.Jukwaa...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 4:36 AM | Be the first to comment!

Dayna Nyange anatukaribisha kuitazama hii video yake mpya ‘angejua’

Dayna Nyange ni kipaji kingine tulichonacho kwenye muziki wa bongofleva Tanzania, 2016 ameianzisha kwa kutusogezea hii single yake ya kwanza kwa mwaka huu inaitwa ‘angejua‘ na video yake mpya ndio hii          ...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 3:45 AM | Be the first to comment!

Waajiriwa Waomba Serikali Kudhibiti Rushwa Maofisini

Chama cha Waajiri nchini kimelalamikia vitendo vya rushwa kuwa vikwazo katika biashara hivyo wameiomba serikali kukemea vitendo vya rushwa pamoja na urasimu ili kuboresha mazingira mazuri ya biashara za kitaifa na kimataifa Hayo yameelezwa...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 3:41 AM | Be the first to comment!

Kwa Mwendo Huu wa Barcelona Wengi Watalia Mwaka Huu!na kwa moto huu Arsenal wataweza kuwazuia?

Klabu ya Valencia chini ya nyota wa zamani wa Manchester United Gary Neville ilipokezwa kichapo cha mwaka na klabu ya Barcelona katika nusufainali ya michuano ya Copa del Rey baada ya kubebeshwa magoli saba....

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 1:47 AM | Be the first to comment!

Rais Magufuli Aanzisha Mkoa Mpya wa Songwe…!

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli ameidhinisha kuanzishwa kwa Mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya nchini. Akitoa tamko hilo kwa niaba ya Rais Waziri wa Nchi Ofisi ya...

Read More
Mr Mtinangi
Mr Mtinangi | 1:42 AM | Be the first to comment!

Guinea Yatupwa Nje CHAN,DR Congo Yatinga Fainali

Jamhuri ya Demokrasia ya Congo imefuzu kwa fainali ya mchuano wa CHAN. Jamhuri ya Demokrasia ya Congo ilijikatia tikiti ya fainali baada ya kuilaza Guinea mabao 5-4 kwa mikwaju ya penalti. Mechi hiyo ilikuwa...

Read More
Page 1 of 12123Next